You need to enable JavaScript to run this app.
Nenda kwenye maudhui
Nenda kwenye orodha kuu
Nenda tovuti zaidi za DW
Vidio zetu
Sauti zetu
Maeneo
Tanzania
Kenya
Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo
Afrika
Ulaya
Mada
Haki za binadamu
Mazingira
Afya
Teknolojia
Kategoria
Matukio ya Kisiasa
Masuala ya Jamii
Michezo
Sauti zetu
Vidio zetu
Yanayoangaziwa
Mzozo wa Kongo Mashariki
Mzozo wa Israel na Hamas
Kivuli cha Ukoloni wa Ujerumani
Matangazo
Usawa wa kijinsia
Usawa wa Kijinsia ni hali ya uapatikanaji sawa wa rasilimali na fursa bila kujali jinsia.
Ruka sehemu inayofuata Ripoti na Uchambuzi
Ripoti na Uchambuzi
Matumizi ya AI kwa lishe bora
Matumizi ya AI kwa lishe bora
Ndoto ya Janet Kitsovi ni kuona ubunifu wake wa akili mnemba Plate-AI na matumizi yake yanawasaidia wagonjwa wengi wanaougua kisukari, moyo na shinikizo la damu nchini Tanzania, Afrika na kwingineko ulimwenguni.
Khamenei aongoza ibada za kuaga miili ya Raisi na maafisa
Khamenei aongoza ibada za kuaga miili ya Raisi na maafisa
Viongozi hao walikufa kwenye ajali ya helikopta wakitokea kuzindua bwawa kwenye mpaka na Arzebaijan.
Wasichana na wanawake wanavyotumia fursa ya teknolojia
Wasichana na wanawake wanavyotumia fursa ya teknolojia
Kuwekeza katika elimu ya teknolojia ya akili ya kubuni (AI) kwa wasichana sio tu kunafungua uwezo wao bali pia huchochea uvumbuzi na utofauti katika tasnia ya teknolojia kwa baadae. Taasisi ya LP digital kutoka Tanzania inafanya jukumu hilo la kutoa mwanga wa sayansi bunifu kwa wasichana.
Wanawake wenye ulemavu wajiunga na mchezo wa mpira wa mikono
Wanawake wenye ulemavu wajiunga na mchezo wa mpira wa mikono
Kutana na wanawake hawa wenye ulemavu waliamua kujiingiza kwenye mchezo wa mpira wa mikono na namna wanavyosakata mchezo huo.
Uhaba wa vifaa wachochea ongezeko la vifo vya watoto Kenya
Uhaba wa vifaa wachochea ongezeko la vifo vya watoto Kenya
Asilimia 60 ya hospitali 67 za kaunti 11 nchini Kenya hazina vifaa vya msingi vya kutoa huduma za uzazi.
Programu ya simu DigiCow yaleta mapinduzi kwa wafugaji
Programu ya simu DigiCow yaleta mapinduzi kwa wafugaji
Peninah Njeri ambae anazitambua changamoto zinazowakabili wafugaji wa ngo'ombe wa maziwa nchini Kenya, ameunda jukwaa la kidijitali ambalo linatoa habari na rasilimali muhimu katika masuala ya ufugaji. DigiCow, imeleta mapinduzi makubwa kwa wafugaji na sasa takriban wafugaji 60,000 barani Afrika wanategemea jukwaa hilo kwa ufugaji wa kisasa.
Onesha zaidi
Matangazo
Ruka sehemu inayofuata Yenye kuangaziwa
Yenye kuangaziwa
Ukeketaji wa kitabibu watishia mafanikio yaliofikiwa Afrika
Wakati vitendo vya "ukeketaji" vikiharamishwa nchini Kenya, sasa vimekuwa vikifanyika katika vyumba vya siri.
Tanzania: Mauaji dhidi ya wanawake yaongezeka
Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu nchini Tanzania LHRC kimesema idadi ya wanawake wanauwawa imeongezeka.
Washindi wa tuzo ya Ujerumani kwa Afrika kutunukiwa Berlin
Muungano wa kwanza wa kitaifa wa amani nchini Cameroon kupokea tuzo ya Ujerumani kwa Afrika mjini Berlin.